Kuonyeshana upendo wa Kikristo mu Malawi
Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
●○○ KUMUTEMBELEA MUTU MARA YA KWANZA
Ulizo: Tunajua namna gani kama kuteseka kwetu haiko malipizi ya Mungu?
Andiko: Yak 1:13
Ulizo la Kuacha: Juu ya nini tunateseka?
○●○ KUMURUDILIA MUTU MARA YA KWANZA
Ulizo: Juu ya nini tunateseka?
Andiko: 1Yo 5:19
Ulizo la Kuacha: Mungu anajisikia namna gani wakati tunateseka?
○○● KUMURUDILIA MUTU MARA YA PILI
Ulizo: Mungu anajisikia namna gani wakati tunateseka?
Andiko: Isa 63:9
Ulizo la Kuacha: Mungu atafanya nini ili kumaliza mateso?