TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI
Namna Ya Kuanzisha Mazungumuzo
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanzaa
Ulizo: Tunajua namna gani kama mateso yetu haiko malipizi kutoka kwa Mungu?
Andiko: Yak 1:13
Ulizo ya Kuachia Mutu: Juu ya nini tunateseka?
Kumurudilia Mutub
Ulizo: Juu ya nini tunateseka?
Andiko: 1Yo 5:19
Ulizo ya Kuachia Mutu: Mungu anajisikia namna gani wakati tunateseka?