TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI
Namna Ya Kuanzisha Mazungumuzo
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza
Ulizo: Mungu anasikilizaka sala?
Andiko: Zb 65:2
Ulizo ya Kuachia Mutu: Tunaweza kusali juu ya mambo gani?
Kumurudilia Mutu
Ulizo: Tunaweza kusali juu ya mambo gani?
Andiko: 1Yo 5:14
Ulizo ya Kuachia Mutu: Mungu anajibiaka sala zetu namna gani?