UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | YOHANA 13-14
“Niliwawekea Ninyi Mufano”
Kwa kunawisha miguu ya mitume wake, Yesu aliwafundisha kuwa wanyenyekevu na kufanyia ndugu na dada zao kazi za hali ya chini.
Namna gani ninaweza kuonyesha unyenyekevu wakati . . .
mabishano ao kukosa kuelewana kunatokea?
wananitolea shauri ao kunirekebisha?
kuko lazima ya kusafisha ao kutengeneza Jumba la Ufalme?