UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | WAROMA 1-3
Endelea Kuzoeza Zamiri Yako
Juu zamiri yetu ituongoze muzuri, tunapaswa:
kuizoeza kupatana na kanuni za Biblia
kuisikiliza wakati inatukumbusha zile kanuni
kuomba Yehova atupatie roho takatifu juu itusaidie tusifanye mambo ya mubaya.—Ro 9:1