Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb19 Mwezi wa 2 uku. 6
  • Mufano wa Muzeituni

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Mufano wa Muzeituni
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
  • Habari za Kufanana na Zile
  • ‘Lo! Jinsi Kilivyo Kina cha Hekima ya Mungu!’
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Ukuwe na Imani Yenye Nguvu Katika Ufalme
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Ayubu Aliamini Kabisa Ufufuo
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
mwb19 Mwezi wa 2 uku. 6

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | WAROMA 9-11

Mufano wa Muzeituni

11:16-26

Sehemu mbalimbali za muzeituni wa mufano zinafananisha nini?

Mufano wa muzeituni wa mu Waroma 11
  • Muti unafananisha kutimizwa kwa mambo yenye Mungu alipenda kufanya kupitia agano lake na Abrahamu

  • Shina ni Yesu, yeye njo sehemu ya kwanza ya uzao wa Abrahamu

  • Matawi ni wale wote wenye kufanyiza sehemu ya pili ya uzao wa Abrahamu

  • Matawi yenye “yalikatwa” ni Wayahudi wa asili ao wa kizalikio wenye walikatala Yesu

  • Matawi yenye ‘yalipandikizwa’ ni Wakristo wenye walitiwa mafuta na roho wenye walitoka mu mataifa ingine

Vile Biblia ilitabiri, uzao wa Abrahamu, ni kusema Yesu na wale 144 000, wataletea “watu wa mataifa” baraka.​—Ro 11:12; Mwa 22:18

Namna Yehova alitimiza kusudi lake kuhusu uzao wa Abrahamu inanifundisha nini?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine