Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb19 Mwezi wa 4 uku. 4-5
  • Namna ya Kujitayarisha kwa Ajili ya Ukumbusho

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Namna ya Kujitayarisha kwa Ajili ya Ukumbusho
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
  • Habari za Kufanana na Zile
  • B12-A Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Katika Dunia (Sehemu ya 1)
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • B12-B Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Katika Dunia (Sehemu ya 2)
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • Programu ya Usomaji wa Biblia kwa Ajili ya Ukumbusho wa 2023
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Programu ya 2022 ya Usomaji wa Biblia kwa Ajili ya Ukumbusho
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
mwb19 Mwezi wa 4 uku. 4-5

MAISHA YA MUKRISTO

Namna ya Kujitayarisha kwa Ajili ya Ukumbusho

Kuanzia hii mwaka, tutakuwa na wakati ya mingi ya kujitayarisha kwa ajili ya Ukumbusho wa kifo cha Kristo. Kama Ukumbusho unaangukia mu siku moja kuanzia Siku ya Kwanza mupaka Siku ya Tano, Mukutano Utumishi na Maisha hautafanywa mu ile juma. Lakini kama Ukumbusho unaangukia mu Siku ya Posho ao Siku ya Yenga, hotuba ya watu wote na Funzo la Munara wa Mulinzi havitafanywa. Vile tutakuwa na wakati ya mingi, je, utaitumia muzuri? Sawa vile mu karne ya kwanza, kuko mipango yenye inapaswa kufanywa kwa ajili ya ile tukio ya pekee. (Lu 22:7-13; km 3/15 uku. 1) Lakini kuko mambo ingine yenye kila mumoja wetu anapaswa kufanya juu afaidike sana na ile tukio ya maana. Ni mambo gani?

  • Kufikiria juu ya nini inaomba kuhuzuria Ukumbusho.​—1Ko 11:23-26

  • Kusali na kufikiri sana kuhusu uhusiano wako na Yehova.​—1Ko 11:27-29; 2Ko 13:5

  • Kusoma na kufikiri sana juu ya Maandiko yenye inazungumuzia maana ya Ukumbusho.​—Yoh 3:16; 15:13

Wahubiri fulani wanasomaka na kufikiri sana juu ya Usomaji wa Biblia kwa ajili ya Ukumbusho wenye kupatikana mu broshua Tuchunguze Maandiko Kila Siku. Wengine wanasomaka maandiko ya Biblia yenye iko ku chati yenye kuwa hapa chini. Na wengine wanajifunzaka tena habari za Munara wa Mulinzi zenye zinazungumuzia Ukumbusho na upendo wenye Yehova na Yesu wametuonyesha. Ikuwe utachagua kujifunza habari gani, acha basi ikusaidie umukaribie sana Yehova na Yesu.

Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Katika Dunia (Sehemu ya 1 na ya 2)
    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine