UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | WAEFESO 1-3
Mambo Yenye Usimamizi wa Yehova Unafanya
Usimamizi wa Yehova ni mupango wenye Yehova anakamata juu ya kuunganisha viumbe vyake vyote vyenye akili.
Unatayarisha Wakristo watiwa-mafuta wenye wataishi mbinguni na Yesu Kristo. Yeye njo Kichwa chao
Unatayarisha wenye wataishi ku dunia mu Ufalme wa Kristo
Ninaweza kufanya nini juu ya kuendelesha umoja mu tengenezo la Yehova?