UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MAOMBOLEZO 1-5
Kuendelea Kungojea Kunatusaidia Tuvumilie
Ni nini ilimusaidia Yeremia aendelee kungojea hata kama aliteswa sana?
Alikuwa hakika kama Yehova “atainama” juu ya watumishi Wake wenye walitubu na kuwainua kutoka katika hali yao mubaya
Alikuwa amejifunza “kuchukua nira wakati wa ujana wake.” Kuvumilia majaribu ya imani wakati wa ujana kunatusaidia kupambana na magumu ya wakati unaokuja