Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb19 Mwezi wa 7 uku. 4
  • Ule Mwenye Kuvunja Sheria Anafunuliwa

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Ule Mwenye Kuvunja Sheria Anafunuliwa
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
  • Habari za Kufanana na Zile
  • “Endelea Kukesha”
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
mwb19 Mwezi wa 7 uku. 4

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | 2 WATESALONIKE 1-3

Ule Mwenye Kuvunja Sheria Anafunuliwa

2:6-12

Paulo alikuwa anazungumuzia nini mu hii maandiko?

  • Wakristo waasi-imani wanavuruga mukutano wa kutaniko la Kikristo la karne ya kwanza

    “Kizuizi” (mu mustari wa 6)​—Inawezekana ni mitume

  • “Afunuliwe” (mu mustari wa 6)​—Kisha kifo cha mitume, Wakristo waasi-imani walianza kufundisha waziwazi mafundisho ya uongo na kutenda kwa unafiki

  • “Fumbo la huu uvunjaji wa sheria” (mu mustari wa 7)​—Mu wakati ya Paulo, “ule mwenye kuvunja sheria” hakukuwa anajulikana

  • Kikundi cha viongozi wa dini wanatombokea ndugu moja mwenye iko na Biblia

    “Ule mwenye kuvunja sheria” (mu mustari wa 8)​—Leo ni viongozi wa Dini Zenye Kujiita Kuwa za Kikristo wakiwa kikundi

  • “Bwana Yesu atamuharibu [ule mwenye kuvunja sheria] . . . wakati kuwapo kwa Yesu kutaonekana wazi” (mu mustari wa 8)​—Yesu atafanya ionekane waziwazi kama iko Mufalme mbinguni wakati atahukumu mupangilio wa mambo wa Shetani, na pia “ule mwenye kuvunja sheria”

Namna gani ile maandiko inakutia moyo uhubiri kwa bidii na kwa uharaka?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine