Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb19 Mwezi wa 8 uku. 3
  • Pitisha Wakati na Watu Wenye Kumupenda Yehova

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Pitisha Wakati na Watu Wenye Kumupenda Yehova
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Juu ya Nini Tunapaswa Kumuogopa Yehova?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2023
  • Yehova Anabariki Matendo ya Uhodari
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Uhodari wa Yehoyada
    Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
  • Vijana, Mutakuwa na Maisha ya Namna Gani?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2023
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
mwb19 Mwezi wa 8 uku. 3

MAISHA YA MUKRISTO

Pitisha Wakati na Watu Wenye Kumupenda Yehova

Juu ya nini tunapaswa kupitisha wakati na watu wenye kumupenda Yehova? Juu watu wenye tunapitisha nao wakati wanaweza kutusaidia kufanya mambo ya muzuri ao kutuchochea kufanya mambo ya mubaya. (Mez 13:20) Kwa mufano, Mufalme Yehoashi aliendelea kufanya “mambo yenye yalikuwa sawa mbele ya macho ya Yehova” wakati wote wenye alipitisha na Kuhani Mukubwa Yehoyada. (2Ny 24:2) Kisha Yehoyada kufa, Yehoashi alimuacha Yehova kwa sababu alianza kupitisha wakati na watu wabaya.​—2Ny 24:17-19.

Wakati wa mitume, mutume Paulo alilinganisha kutaniko la Kikristo na “nyumba kubwa” na alilinganisha wenye kuwa katika kutaniko na “vyombo,” ao vitu vyenye kutumiwa mu nyumba. Tutaendelea kuwa “kifaa kwa ajili ya matumizi yenye kuheshimika” wakati tunaepuka kupitisha wakati na mutu yeyote mwenye anafanya mambo yenye haimufurahishe Yehova, hata kama ni mutu wa familia yetu ao wa kutaniko. (2Ti 2:20, 21) Kwa hiyo, tuendelee basi kufanya urafiki na watu wenye kumupenda Yehova na wenye wanatutia moyo tumutumikie.

MUANGALIE VIDEO KATAA MASHIRIKA YA MUBAYA, NA KISHA MUJIBIE HII MAULIZO:

  • Ni mu njia gani fulani tunaweza kuwa na mashirika ya mubaya bila kujua?

  • Katika video, nini njo ilisaidia Wakristo watatu waachane na mashirika ya mubaya?

  • Ni kanuni gani za Biblia zenye zinaweza kukusaidia kuchagua kwa hekima marafiki wako?

John anatilia muvinyo watu fulani ku restora; Kristin anaangalia site ya Enternete ya watu mingi; Jayden anacheza muchezo wa video ku Enternete; John na familia yake, Kristin, na Jayden wako ku mukutano wa kutaniko

Niko “kifaa kwa ajili ya matumizi yenye kuheshimika”?​—2Ti 2:21

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine