UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | WAEBRANIA 1-3
Upende Haki na Uchukie Kuvunja Sheria
Yesu anapenda haki na anachukia kila kitu chenye kinaweza kukosea Baba yake heshima.
Namna gani tunaweza kumuiga Yesu kwa kuwa wenye kupenda haki
wakati tunajaribiwa na mambo ya uasherati?
wakati mutu wa familia anatengwa na kutaniko?