Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb19 Mwezi wa 10 uku. 7
  • Unapenda Kabisa Neno la Mungu?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Unapenda Kabisa Neno la Mungu?
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Waliona Biblia Kuwa ya Maana—Sehemu (William Tyndale)
    Habari Zingine
  • Unaweza Kupata Musaada
    Amuka!—2020
  • Waliona Biblia Kuwa ya Maana
    Habari Zingine
  • Adresi Yetu ya Internete Inayokubaliwa Kisheria Inatufaidi Sisi na Wengine
    Huduma Yetu ya Ufalme—2012
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
mwb19 Mwezi wa 10 uku. 7

MAISHA YA MUKRISTO

Unapenda Kabisa Neno la Mungu?

Biblia iko na mawazo na maneno ya Yehova Mungu, mwenye aliandikisha kile kitabu kitakatifu. (2Pe 1:20, 21) Kwa sababu Biblia inakazia kutukuzwa kwa mamlaka makubwa ya Mungu kupitia ufalme wake, inapatia wanadamu tumaini kama, hivi karibuni maisha itakuwa muzuri. Tena Biblia inaonyesha utu wenye upendo wa Baba yetu wa mbinguni, Yehova.​—Zb 86:15.

Kila mumoja wetu iko na sababu yenye inamufanya aone Neno la Yehova kuwa la maana. Lakini, je, tunaonyesha kama tunapenda ile zawadi ya maana sana kwa kuisoma kila siku na kuitumikisha mu maisha yetu? Basi, matendo yetu ionyeshe kama sisi pia tunajisikia kama muandikaji mumoja wa zaburi mwenye alisema hivi: “Ninapenda sana sheria yako!” ​—Zb 119:97.

MUANGALIE VIDEO WALIONA BIBLIA KUWA YA MAANA​—SEHEMU (WILLIAM TYNDALE), NA KISHA MUJIBIE HII MAULIZO:

  • William Tyndale; William Tyndale iko karibu na mashini yake ya kuchapa; kopi ya chapa ya kwanza ya Tafsiri ya Agano Jipya ya Tyndale

    Juu ya nini William Tyndale alitafsiri sehemu fulani za Biblia?

  • Juu ya nini inashangaza kuona namna alijikaza kutafsiri Biblia?

  • Namna gani kopi za Biblia ya Tyndale ziliingizwa kwa uficho katika Uingereza?

  • Kila mumoja wetu anaweza kufanya nini ili kuonyesha kama anapenda kabisa Neno la Mungu?

MAMBO YA KUFIKIRIA SANA: Ni katika maana gani Neno la Mungu liko kama . . .

  • taa na muangaza?​—Zb 119:105

  • maji?​—Efe 5:26

  • upanga?​—Efe 6:17

  • kioo?​—Yak 1:23-25

USOME NENO LA MUNGU KILA SIKU

Programu ya Usomaji wa Biblia

Umejaribu kutumia Programu ya Usomaji wa Biblia yenye kupatikana ku jw.org? PDF ya ile programu inakupeleka mara moja ku jw.org na kwenye maandiko ya Biblia yenye unapenda kusoma. Kama usomaji wa Biblia wenye kurekodiwa unapatikana mu luga yenu, unaweza kuupata ku jw.org.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine