UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | UFUNUO 7-9
Kundi Kubwa la Watu Wenye Hawawezi Kuhesabiwa Wanabarikiwa na Yehova
Juu ya nini Yehova anabariki kundi kubwa la watu?
‘Wanasimama mbele ya kile kiti [cha Yehova] cha ufalme,’ ni kusema, wanaunga mukono kabisa mamlaka makubwa ya Yehova
Wanavaa “kanzu za mweupe,” ili kuonyesha kama wako safi, na wako wenye haki mbele ya Yehova kwa sababu ya imani yao katika zabihu ya Kristo
Wanatoa “utumishi mutakatifu muchana na usiku,” ni kusema, wanamuabudu Yehova bila kuacha na kwa bidii sana
Ninapaswa kufanya nini juu nikuwe kati ya wale wenye kufanyiza kundi kubwa la watu?