Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb19 Mwezi wa 12 uku. 2
  • Kundi Kubwa la Watu Wenye Hawawezi Kuhesabiwa Wanabarikiwa na Yehova

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Kundi Kubwa la Watu Wenye Hawawezi Kuhesabiwa Wanabarikiwa na Yehova
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
  • Habari za Kufanana na Zile
  • “Angalia! Kundi Kubwa la Watu”
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2019
  • Kundi Kubwa la Watu Linamusifu Mungu na Kristo
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2021
  • Hapana Kufuatilia Watu Mingi
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
mwb19 Mwezi wa 12 uku. 2

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | UFUNUO 7-9

Kundi Kubwa la Watu Wenye Hawawezi Kuhesabiwa Wanabarikiwa na Yehova

7:9, 14-17

Kundi kubwa la watu wanavaa kanzu za mweupe na wako na matawi ya mitende katika mikono yao

Juu ya nini Yehova anabariki kundi kubwa la watu?

  • ‘Wanasimama mbele ya kile kiti [cha Yehova] cha ufalme,’ ni kusema, wanaunga mukono kabisa mamlaka makubwa ya Yehova

  • Wanavaa “kanzu za mweupe,” ili kuonyesha kama wako safi, na wako wenye haki mbele ya Yehova kwa sababu ya imani yao katika zabihu ya Kristo

  • Wanatoa “utumishi mutakatifu muchana na usiku,” ni kusema, wanamuabudu Yehova bila kuacha na kwa bidii sana

Ninapaswa kufanya nini juu nikuwe kati ya wale wenye kufanyiza kundi kubwa la watu?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine