UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | UFUNUO 20-22
“Angalia! Ninafanya Vitu Vyote Kuwa Vipya”
Yehova anaahidi kama atafanya vitu vyote kuwa vipya.
“Mbingu mupya”: Serikali ya mupya yenye itafanya ku dunia kukuwe hali zenye haki
“Dunia mupya”: Kikundi cha watu wenye kujitiisha chini ya utawala wa Mungu na wenye wanatii kanuni zake za haki
“Vitu vyote kuwa vipya”: Kutakuwa mambo ya kufurahisha kila siku. Hakutakuwa tena mateso ya kimwili, ya kiakili, na ya moyoni