Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Mwezi wa 4 uku. 1
  • Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • ●○○ KUMUTEMBELEA MUTU MARA YA KWANZA
  • ○●○ KUMURUDILIA MUTU MARA YA KWANZA
  • ○○● KUMURUDILIA MUTU MARA YA PILI
  • KAMPANYE YA KUALIKA WATU KU UKUMBUSHO (Tarehe 14/3–7/4):
  • Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
  • Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
  • Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
  • Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
mwb20 Mwezi wa 4 uku. 1
Yesu na mitume wake waaminifu wako kwenye meza ili kula Chakula cha Mangaribi cha Bwana.

Yesu anafanya agano pamoja na mitume wake waaminifu

Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo

●○○ KUMUTEMBELEA MUTU MARA YA KWANZA

Ulizo: Wakati Mungu aliumba wanadamu, alikuwa na kusudi gani?

Andiko: Mwa 1:28

Ulizo la Kuachia Mutu: Ni nini inaonyesha kama Mungu atatimiza kusudi lenye alikuwa nalo wakati aliumba wanadamu?

UTAPATA HII ANDIKO KATIKA VYOMBO VYETU VYA KUFUNDISHIA:

  • Kitabu ‘Biblia Inatufundisha Nini?

    bhs uku. 29 fu. 1

○●○ KUMURUDILIA MUTU MARA YA KWANZA

Question: Ulizo: Ni nini inaonyesha kama Mungu atatimiza kusudi lenye alikuwa nalo wakati aliumba wanadamu?

Andiko: Isa 55:11

Ulizo la Kuachia Mutu: Maisha itakuwa namna gani wakati Mungu atatimiza kusudi lake?

UTAPATA HII ANDIKO KATIKA VYOMBO VYETU VYA KUFUNDISHIA:

  • Kitabu ‘Biblia Inatufundisha Nini?’

    bhs uku. 29 fu. 2

○○● KUMURUDILIA MUTU MARA YA PILI

Ulizo: Maisha itakuwa namna gani wakati Mungu atatimiza kusudi lake?

Andiko: Zb 37:10, 11

Ulizo la Kuachia Mutu: Tunapaswa kufanya nini juu tufikie kupata baraka zenye Mungu atatuletea?

UTAPATA HII ANDIKO KATIKA VYOMBO VYETU VYA KUFUNDISHIA:

  • Kitabu ‘Biblia Inatufundisha Nini?’

    bhs uku. 35 fu. 17

KAMPANYE YA KUALIKA WATU KU UKUMBUSHO (Tarehe 14/3–7/4):

“Tunakuja kukualika kwenye tukio la maana sana. Watu mingi sana watakutana ili kukumbuka kifo cha Yesu.” Umupatie musikilizaji mualiko. “Ku huu mwaliko utaona saa na mahali kwenye ule mukutano utafanyika mu eneo letu. Tena, tunakualika kusikiliza hotuba ya pekee yenye itatolewa juma moja mbele ya juma la Ukumbusho.”

Ulizo la Kuachia Mutu Kama Anapendezwa: Juu ya nini Yesu alikufa?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine