Wakati Yosefu iko mu gereza katika inchi ya Misri, anamutegemea Yehova
Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
●○○ KUMUTEMBELEA MUTU MARA YA KWANZA
Ulizo: Ni nini inatufikiaka wakati tunakufa?
Andiko: Muh 9:5a
Ulizo la Kuachia Mutu: Wafu wataishi tena?
○●○ KUMURUDILIA MUTU MARA YA KWANZA
Ulizo: Wafu wataishi tena?
Andiko: Yob 14:14, 15
Ulizo la Kuachia Mutu: Maisha itakuwaka namna gani wakati Mungu atafufua wapendwa wetu?
○○● KUMURUDILIA MUTU MARA YA PILI
Ulizo: Maisha itakuwaka namna gani wakati Mungu atafufua wapendwa wetu?
Andiko: Isa 32:18
Ulizo la Kuachia Mutu: Namna gani Mungu ataleta amani ku dunia?