Noa na watu wa familia yake wanajitayarisha ili kuingia ndani ya safina
Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
●○○ KUMUTEMBELEA MUTU MARA YA KWANZA
Ulizo: Jina la Mungu ni nani?
Andiko: Zb 83:18
Ulizo la Kuachia Mutu: Ni sifa gani ya Mungu yenye kuwa kubwa zaidi?
○●○ KUMURUDILIA MUTU MARA YA KWANZA
Ulizo: Ni sifa gani ya Mungu yenye kuwa kubwa zaidi?
Andiko: 1Yo 4:8
Ulizo la Kuachia Mutu: Unaweza kufanya nini ili ukuwe rafiki ya Mungu?
○○● KUMURUDILIA MUTU MARA YA PILI
Ulizo: Unaweza kufanya nini ili ukuwe rafiki ya Mungu?
Andiko: Yoh 17:3
Ulizo la Kuachia Mutu: Yehova anatuambia mambo yenye itatokea wakati wenye kuja?