Abrahamu iko anamufundisha Isaka juu ya Yehova
Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
●○○ KUMUTEMBELEA MUTU MARA YA KWANZA
Ulizo: Namna gani tunaweza kujua mambo ya wakati wenye kuja?
Andiko: Isa 46:10
Ulizo la Kuachia Mutu: Ni unabii gani mbalimbali wa Biblia wenye unatimia leo?
○●○ KUMURUDILIA MUTU MARA YA KWANZA
Ulizo: Ni unabii gani mbalimbali wa Biblia wenye unatimia leo?
Andiko: 2Ti 3:1-5
Ulizo la Kuachia Mutu: Ni baraka gani zenye watu watapata wakati wenye kuja?
○○● KUMURUDILIA MUTU MARA YA PILI
Ulizo: Ni baraka gani zenye watu watapata wakati wenye kuja?
Andiko: Isa 65:21-23
Ulizo la Kuachia Mutu: Yesu atakuwa na daraka gani katika kufanya zile baraka zitimie?