Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • ll sehemu 13 uku. 28-29
  • Tunapaswa Kufanya Nini ili Tumufurahishe Mungu?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tunapaswa Kufanya Nini ili Tumufurahishe Mungu?
  • Umusikilize Mungu ili Uishi Milele
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Marafiki Wa Mungu Huepuka Mabaya
    Unaweza Kuwa Rafiki ya Mungu!
  • Mazoea Ambayo Mungu Anachukia
    Mungu Anataka Nini Kwetu?
  • Sehemu ya 13
    Umusikilize Mungu
  • Njia ya Muzuri ya Kumuabudu Mungu
    Biblia Inatufundisha Nini?
Ona Habari Zaidi
Umusikilize Mungu ili Uishi Milele
ll sehemu 13 uku. 28-29

SEHEMU YA 13

Tunapaswa Kufanya Nini ili Tumufurahishe Mungu?

Uepuke mambo ya mubaya. 1 Wakorinto 6:9, 10

Mambo yenye Mungu anachukia​—kuiba, kulewa, kutumia dawa za kulewesha, kupigana, kusali kwa sanamu, na kuabudu sanamu

Kama tunamupenda Yehova, hatutafanya mambo yenye anachukia.

Yehova hapendi tuibe, tulewe, ao kutumia dawa za kulewesha kama vile bangi, ao vitu vingine.

Anachukia kuuana, kutosha mimba, mwanaume kulala na mwanaume na mwanamuke kulala na mwanamuke. Hapendi tukuwe na pupa (tamaa kubwa) ao kupigana na watu wengine.

Hatupaswe kuabudu sanamu ao kupashana habari na pepo wachafu.

Watu wenye kufanya mambo ya mubaya hawataingia mu dunia Paradiso yenye itakuja.

  • Mungu iko na mawazo gani juu ya uchawi?​—Kumbukumbu la Torati 18:10-12.

  • Juu ya nini hatupaswe kuabudu sanamu?​—Isaya 44:15-20.

Ufanye mambo ya muzuri. Matayo 7:12

Mambo yenye kumufurahisha Mungu​​—kuonyesha wengine upendo, kuepuka mambo ya udanganyifu, na kusamehe wengine

Juu tumufurahishe Mungu, tunapaswa kujikaza kumuiga.

Uonyeshe wengine upendo kwa kuwafanyia mambo ya muzuri na usikuwe muchoyo.

Uepuke udanganyifu.

Ukuwe mwenye rehema na mwenye kusamehe.

Mashahidi wawili wa Yehova wanahubiria mwanaume mumoja

Uambie wengine juu ya Yehova na njia zake.​—Isaya 43:10.

  • Umuige Yehova.​—1 Petro 1:14-16.

  • Uonyeshe wengine upendo.​—1 Yohana 4:7, 8, 11.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine