Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Mwezi wa 5 uku. 7
  • Ujikaze Kujua Muzuri Namna Mambo Ilikuwa

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Ujikaze Kujua Muzuri Namna Mambo Ilikuwa
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
  • Habari za Kufanana na Zile
  • “Tafazali, Musikilize Ndoto Hii”
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • “Mimi Niko Mahali pa Mungu?”
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
  • Yehova Hakumusahau Yosefu Hata Kidogo
    Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
  • Mutumwa Mwenye Alimutii Mungu
    Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
mwb20 Mwezi wa 5 uku. 7
Picha: ndugu kijana anajikaza kuona katika akili mambo yenye anasoma katika Biblia juu ya Yosefu. 1. Yosefu anaangukia katika kisima chenye kukauka. 2. Yosefu iko anatembea pamoja na musururu wa Wamidiani wenye wako wanaenda Misri. 3. Bibi ya Potifa iko anaangalia kwa mbali wakati Yosefu iko anazungumuza na bwana yake.

MAISHA YA MUKRISTO

Ujikaze Kujua Muzuri Namna Mambo Ilikuwa

Wakati uko unasoma habari zenye kuwa mu Biblia, ujikaze kujua muzuri namna mambo ilikuwa. Ujifunze habari yenye kutangulia na yenye kufuata habari yenye uko unasoma, watu wenye kuzungumuziwa, na sababu zenye pengine ziliwachochea watende katika njia fulani. Tumia uwezo wako wa kuona mambo katika akili ili kuona mahali mbalimbali, kusikia sauti mbalimbali, harufu mbalimbali, na kujisikia namna watu wenye kuzungumuziwa walijisikia.

MUANGALIE VIDEO FANYA USOMAJI WAKO WA BIBLIA UKUWE MUZURI ZAIDI​—SEHEMU, NA KISHA MUJIBIE HII MAULIZO:

  • Yosefu mbele auzishwe kuwa mutumwa.

    Pengine ni sababu gani zilifanya ndugu za Yosefu wasipatane naye sikuzote?

  • Yosefu iko anatembea pamoja na musururu wa Wamidiani wenye wako wanaenda Misri.

    Pengine ni juu ya nini wakati fulani ndugu za Yosefu walitenda kwa ukali na bila kufikiria matokeo?

  • Picha: Yakobo anachukua hatua za kufanya amani pamoja na Esau. 1. Yakobo iko anasali. 2. Yakobo iko anainama mbele ya Esau. 3. Esau anamukumbatia Yakobo.

    Tunaweza kujifunza nini katika Biblia juu ya Yakobo, baba ya Yosefu?

  • Yakobo aliachia watoto wake mufano gani muzuri juu ya namna ya kuelewana na wengine?

  • Kuangalia hii video kumekuletea faida gani?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine