UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MWANZO 46-47
Yosefu Anaokoa Familia Yake Wakati wa Njaa
Leo, katika ulimwengu watu wengi wako na njaa ya kiroho. (Amo 8:11) Kupitia Kristo Yesu, Yehova anatutolea chakula mingi ya kiroho yenye kujenga.
Vichapo vyenye kutegemea Biblia
Mikutano ya kutaniko
Mikusanyiko
Habari za kusikiliza tu
Video mbalimbali
JW.ORG
JW Télédiffusion
Niko ninajiima mambo gani ili nikule kwa ukawaida chakula ya kiroho yenye Yehova anatutolea?