UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | KUTOKA 17-18
Wanaume Wenye Kuwa na Kiasi Wanazoezaka Wengine na Kuwapatia Madaraka
Wakati ndugu wenye kuwa na uzoefu wanazoeza vijana na kuwapatia madaraka wanaonyesha kama ni wenye kiasi, wenye upendo, na wenye kuona mbali. Wanaweza kufanya vile namna gani?
Muchague wale wenye kuwa na uwezo wa kutumikia madaraka zaidi mu kazi ya Yehova
Muwaambie waziwazi mambo yenye wanapaswa kufanya ili kumaliza kazi fulani
Muwapatie musaada wenye wako nao lazima ili kumaliza kazi, kama vile feza, ao vyombo
Muchunguze maendeleo yao, na muwaambie kama muko hakika kuwa watafanya kazi muzuri
UJIULIZE HIVI: ‘Ninaweza kupatia wengine madaraka gani?’