UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MATENDO 17-18
Fuata Mufano wa Mutume Paulo wa Kuhubiri na Kufundisha
Namna gani tunaweza kufuata mufano wa mutume Paulo?
Tunaweza kutumia Maandiko ili kufikiri na watu, na kupatanisha mafundisho yetu na wasikilizaji wetu
Tunaweza kuhubiri fasi kwenye tunaweza kupata watu na wakati wanaweza kupatikana
Kwa ufundi tutafute jambo yenye tunaweza kukubaliana na wao mu mambo yenye wanaamini