UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
Mambo ya Kufanya ili Yehova Atubariki
Epuka miungu yenye haina mafaa (Law 26:1; w08-SW 15/4 uku. 4 fu. 8)
Muabudu Yehova vile anapenda (Law 26:2; it-2-F uku. 753 fu. 2)
Tii amri zake (Law 26:3, 12; w91-SW 1/3 uku. 17 fu. 10)
Waisraeli wenye walifuata sheria za Yehova kwa uaminifu, walikuwa na amani na walipata baraka mingi.
Kati ya baraka zenye kufuata, ni baraka gani zenye uko unafurahia?
Ujuzi wenye hauna makosa wa Biblia
Amani ya akili
Maisha ya familia yenye kuwa na furaha
Tumaini ya wakati wenye kuja