Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb21 Mwezi wa 1 uku. 4
  • Yehova Anatenga Watu Wake na Mataifa Ingine

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Yehova Anatenga Watu Wake na Mataifa Ingine
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Mambo ya Kufanya ili Yehova Atubariki
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
  • Yehova Anapigania Israeli
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
  • Namna Inchi Iligawanywa Ilionyesha Hekima ya Yehova
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
  • Linda Uriti Yako ya Maana Sana
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
mwb21 Mwezi wa 1 uku. 4

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

Yehova Anatenga Watu Wake na Mataifa Ingine

Tunapaswa kutii sheria zote za Yehova (Law 20:22, 23; w04-SW 15/10 uku. 11 fu. 12)

Yehova anatoa ahadi ya kupatia watu wake uriti (Law 20:24; it-1-F uku. 1106)

Yehova anapenda watu wake wamutolee ibada safi (Law 20:25, 26; it-2-F uku. 438 fu. 5)

Yehova anabariki wale wenye wanaendelea kuwa na urafiki wa muzuri pamoja naye. Juu tuendelee kumufurahisha Mungu, tunapaswa kujitenga na ulimwengu na kuepuka kabisa matendo ya mubaya yenye kuwa ndani.

Ndugu wa Halmashauri ya Uhusiano na Hospitali iko anamuonyesha doctere habari fulani juu ya mambo ya matunzo.

UJIULIZE HIVI: ‘Ni matunzo gani yenye haimufurahishe Mungu yenye napaswa kuepuka?’

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine