Yakobo iko natolea watoto wake unabii
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
Namna Inchi Iligawanywa Ilionyesha Hekima ya Yehova
Yehova alisema inchi igawanywe kwa kura. Alifanya vile, pengine juu ijulikane ni wapi uriti wa kila kabila ulipaswa kuwa (Yos 18:10; it-1-F uku. 933 fu. 5)
Yehova alihakikisha kama unabii wenye Yakobo alitoa mbele akufe ulitimia (Yos 19:1; it-1-F uku. 1107 fu. 6)
Yehova aliruhusu watu waamue ukubwa wa eneo ya kila kabila (Yos 19:9; it-1-F uku. 933 fu. 6)
Inchi iligawanywa mu njia yenye ilifanya makabila isigombane ao kuoneana wivu. Ile inafanya ujisikie namna gani juu ya namna Yehova ataongoza mambo mu dunia mupya?