UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
Yehova Anapigania Israeli
Wafalme tano wanaungana juu ya kupigana na Gibeoni na Israeli (Yos 10:5; it-1-F uku. 48)
Yehova anapiga ile muungano (Yos 10:10, 11; it-1-F uku. 1028)
Yehova alifanya jua isimame bila kutikisika (Yos 10:12-14; w04-SW 1/12 uku. 11 fu. 1)
Wakati tunateswa, tunapaswa kumutegemea Yehova ili atusaidie tuendelee kubakia waaminifu. Tunajua kama kupitia musaada wake, hakuna serikali ya mwanadamu yenye inaweza kutuzuia kumuabudu.