Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb21 Mwezi wa 5 uku. 7
  • Nizamu Inaonyesha Kama Yehova Anatupenda

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Nizamu Inaonyesha Kama Yehova Anatupenda
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Nizamu—Inaonyesha Upendo wa Mungu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2018
  • Namna ya Kufundisha Watoto Wako Adabu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Sikiliza Nizamu ili Ukuwe na Hekima
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2018
  • Nizamu—Inaonyesha Upendo wa Yehova
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
mwb21 Mwezi wa 5 uku. 7
Wazazi wako ku mulango na wako nalia vile wanaona mutoto yao mwanaume mwenye hatubu iko natoka ku nyumba.

MAISHA YA MUKRISTO

Nizamu Inaonyesha Kama Yehova Anatupenda

Nizamu ni kufundishwa. Lakini, inatia ndani pia malipizi na kurekebishwa. Yehova anatupatiaka nizamu juu anapenda tumuabudu mu njia yenye anakubali. (Ro 12:1; Ebr 12:10, 11) Wakati fulani, nizamu inaumizaka, lakini mutu akiifuata inaweza kufanya akuwe mwenye haki na apate baraka. (Mez 10:7) Wale wenye wanatoa nizamu na wale wenye wanaipata, wanapaswa kuchunga nini mu akili?

Mwenye anaitoa. Wazee, wazazi, na wengine wanajikazaka kumuiga Yehova kwa kutoa nizamu kwa upendo. (Yer 46:28) Hata kama ni nizamu ya nguvu, inapaswa kutolewa kulingana na kosa na kwa upendo.​—Ti 1:13.

Mwenye anaipata. Ikuwe tunapata nizamu ya namna gani, hatupaswe kuikataa, tunapaswa kuifuata palepale. (Mez 3:11, 12) Juu hatukamilike siye wote tuko na lazima ya nizamu, hata ikuwe ya namna gani. Tunaweza kupata nizamu kupitia mambo yenye tunasoma mu Biblia ao mambo yenye tunasikia ku mikutano. Ao wakati fulani, wengine wanaweza kupewa nizamu na halmashauri ya hukumu. Kama tunatii nizamu, tutakuwa na maisha ya muzuri na tutapata uzima wa milele.​—Mez 10:17.

MUANGALIE VIDEO “WALE WENYE YEHOVA ANAPENDA ANAWATIA NIZAMU,” KISHA MUJIBIE HII MAULIZO:

  • Picha yenye kuwa mu video ‘Wale Wenye Yehova Anapenda Anawatia Nizamu.’ Canon iko nahubiri na wazazi wake wakati alikuwa angali mutoto.

    Ku mwanzo, maisha ya Canon ilikuwa namna gani, na namna gani ilibadilika?

  • Picha yenye kuwa mu video ‘Wale Wenye Yehova Anapenda Anawatia Nizamu.’ Canon alishakuwa kijana na anaonana na wazee.

    Ni nizamu gani ya upendo yenye Yehova alimupatia?

  • Picha yenye kuwa mu video ‘Wale Wenye Yehova Anapenda Anawatia Nizamu.’ Canon iko nazungumuza na vijana mu Jumba la Ufalme.

    Upende nizamu ya Yehova

    Habari yake inatufundisha nini?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine