UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | WAEBRANIA 12-13
Nizamu—Inaonyesha Upendo wa Yehova
Nizamu inatia ndani malipizi, kurekebishwa, na kufundishwa. Yehova anatupatia nizamu, sawa vile tu baba mwenye upendo anapatiaka watoto wake nizamu. Tunapata nizamu wakati . . .
Tunasoma Biblia, tunafanya funzo la pekee, tunaenda ku mikutano, na kufikiri sana juu ya mambo yenye tunajifunza
Mukristo mwenzetu anatupatia mashauri ao anaturekebisha
Tunapata matokeo ya mubaya ya makosa yetu
Tunakaripiwa ao tunatengwa na kutaniko
Yehova anaruhusu magumu ao mateso fulani itupate.—w15 15/9 uku. 25 fu. 13; it-1-F uku. 650-651