UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Yehova Mungu Wako Anataka Ufanye Nini?”
Umutii Yehova juu unamuheshimia na kumupenda sana (Kum 10:12; w09-SW 1/10 uku. 10 fu. 3-4)
Kutii kunatuletea baraka (Kum 10:13; w09-SW 1/10 uku. 10 fu. 6)
Yehova anapenda tumukaribie (Kum 10:15; cl-SW uku. 16 fu. 2)
Yehova hatulazimishake kumutii. Lakini anapenda tumutii na tumupende “kutoka katika moyo.” (Ro 6:17) Wale wenye wanachagua kumutumikia Yehova wanapataka maisha ya muzuri sana.