Musa anafundisha watu wimbo yenye inamutukuza Yehova
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
Maneno ya Mufano Yenye Kuwa mu Wimbo wa Musa Inatufundisha Nini?
Mafundisho yetu inaweza kuwa kama umande (Kum 32:2, 3; w20.06 uku. 10 fu. 8-9; ona picha ya ku jalada)
Yehova ni Mwamba (Kum 32:4; w09-SW 1/5 uku. 14 fu. 4)
Yehova analinda watumishi wake sawa vile tai analindaka vitoto vyake (Kum 32:11, 12; w01-SW 1/10 uku. 9 fu. 7)
Unaweza kupata wapi mifano ya muzuri yenye unaweza kutumia wakati uko nafundisha?