Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb21 Mwezi wa 7 uku. 4
  • Sheria Ilionyesha Kama Yehova Alihangaikia Maskini

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Sheria Ilionyesha Kama Yehova Alihangaikia Maskini
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Kanuni za Kusaidia Kuhukumu kwa Haki
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
  • Kazi Yenye Walawi Walikuwa Wanafanya
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
  • Namna Yehova Anapenda Tumuabudu
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
  • Kuvunja Sheria ya Mungu Kunaletaka tu Magumu
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
mwb21 Mwezi wa 7 uku. 4
Picha: 1. Bwana moja Mwisraeli anamuachilia huru mutumwa wake Mwebrania. 2. Mwanaume moja anamupatia mwanaume mwingine kitabu ya kukunjwa yenye kutiwa muhuri.

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

Sheria Ilionyesha Kama Yehova Alihangaikia Maskini

Taifa ya Israeli ilisaidia maskini na wale wenye hawakukuwa na uriti (Kum 14:28, 29; it-1-F uku. 648 fu. 5)

Mu mwaka ya Sabato, Waisraeli wenye walikuwa na deni, ‘waliachiliwa’ kutokana na deni yao (Kum 15:1-3; it-2-F uku. 843)

Mu mwaka ya saba ya utumwa wake, Mwisraeli mwenye alijiuzisha yeye peke mu utumwa aliachiliwa huru, na bwana wake alimupatia zawadi (Kum 15:12-14; it-1-F uku. 794 fu. 2)

UJIULIZE HIVI: ‘Ninaweza kufanya nini ili kuonyesha kama ninahangaikia Wakristo wenzangu wenye kuwa mu uhitaji?’

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine