Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb22 Mwezi wa 1 uku. 3
  • Kuvunja Sheria ya Mungu Kunaletaka tu Magumu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Kuvunja Sheria ya Mungu Kunaletaka tu Magumu
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Yefta Alikuwa Mutu wa Kiroho
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
  • Sheria Ilionyesha Kama Yehova Alihangaikia Maskini
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
  • Kazi Yenye Walawi Walikuwa Wanafanya
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
  • Kanuni za Kusaidia Kuhukumu kwa Haki
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
mwb22 Mwezi wa 1 uku. 3

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

Kuvunja Sheria ya Mungu Kunaletaka tu Magumu

Mika aliibaka mama yake makuta (Amu 17:1, 2)

Mika aliabudu sanamu na alizaraulisha tabenakulo ya Yehova na ukuhani wake (Amu 17:4, 5, 12; it-2-F uku. 278)

Mika alifikia kubakia mikono wazi (Amu 18:24-26; it-2-F uku. 278-279 fu. 6)

Mwanamuke mwenye alikuwaka Shahidi zamani, mwenye sasa iko na mutoto, iko nafikiri sana juu ya maisha yake wakati alikuwa anamutumikia Yehova. Mbele yake ku meza, kuko kisahani ya majifu ya tumbaku. Mwanaume mwenye kulewa analala ku kiti.

UJIULIZE HIVI: ‘Nimepata baraka gani kwa kumutii Yehova?’

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine