UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
Yehova Anaona Uzima wa Mwanadamu Kuwa wa Maana Sana
Ilikuwa mwepesi kupata miji ya makimbilio (Kum 19:2, 3; w17.11 uku. 14 fu. 4)
Miji ya makimbilio ilisaidia Waisraeli wasikuwe na hatia ya damu (Kum 19:10; w17.11 uku. 15 fu. 9)
Kuchukia ndugu yetu inaweza kufanya tukuwe na hatia ya damu (Kum 19:11-13; it-2-F uku. 892)
UJIULIZE HIVI: ‘Ni mu njia gani ninaweza onyesha kama naona uzima sawa vile Yehova?’