UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
“Kamata Mutoto Wako”
Mwanamuke Mushunamu alimuonyesha Elisha ukarimu mukubwa sana (2Fa 4:8-10)
Yehova alimubariki kwa kumuwezesha kuzala mutoto mwanaume (2Fa 4:16, 17; w17.12 uku. 4 fu. 7)
Yehova alitumia Elisha juu ya kufufua mutoto wa ule mwanamuke (2Fa 4:32-37; w17.12 uku. 5 fu. 8)
Uko na huzuni juu ulifiwa na mutoto? Yehova anaelewa huzuni yako na anahuzunika pia. Ujue kama, hakubakie tena siku mingi, atafufua mupendwa wako. (Yob 14:14, 15) Wazia furaha yenye utakuwa nayo ile wakati!