Picha ku jalada: Elisha iko naambia mutumishi wake hivi: “Wale wenye kuwa pamoja na sisi ni wengi kuliko wale wenye kuwa pamoja nao.”—2Fa 6:16
UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
Wale Wenye Kuwa Pamoja na Sisi Ni Wengi Kuliko Wale Wenye Kuwa Pamoja Nao
Elisha na mutumishi wake walizungukwa na maadui (2Fa 6:13, 14; it-1-F uku. 728 fu. 5)
Elisha alibakia mwenye kutulia na alitia nguvu imani ya mutumishi wake (2Fa 6:15-17; w13 15/8 uku. 30 fu. 2; ona picha ku jalada)
Kwa muujiza, Yehova aliokoa Elisha na mutumishi wake (2Fa 6:18, 19; it-1-F uku. 409 fu. 4)
Maadui wetu hawana nguvu kuliko Yehova. Kama ungekuwa na uwezo wa kuona mambo yenye iko nafanyika mu makao ya roho na kuona namna Yehova iko natumia malaika juu ya kulinda watu wake, unawaza ungeona nini?