Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb22 Mwezi wa 11 uku. 4
  • Yehova Alifanya Jambo Yenye Haikutazamiwa

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Yehova Alifanya Jambo Yenye Haikutazamiwa
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Mwanamuke Mubaya na Mwenye Kimbelembele Anapewa Malipizi
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • Uvumilivu wa Yehova Uko na Mipaka
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • Wale Wenye Kuwa Pamoja na Sisi Ni Wengi Kuliko Wale Wenye Kuwa Pamoja Nao
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • Tuendelee Kutambua Uhitaji wa Kutenda kwa Haraka
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
mwb22 Mwezi wa 11 uku. 4

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Yehova Alifanya Jambo Yenye Haikutazamiwa

Wakati kulikuwa njaa kali, Yehova alisema kama siku yenye kufuata kutakuwa chakula mingi sana (2Fa 7:1; it-1-F uku. 729 fu. 1)

Kamanda fulani wa Israeli alichekelea ahadi ya Yehova (2Fa 7:2)

Yehova alifanya jambo yenye haikutazamiwa (2Fa 7:6, 7, 16-18)

Bibi na bwana Mashahidi wako fasi ya kunywia kahawa. Wanasikia habari ku televizyo kama viongozi wa dunia wanakusanyika pamoya. Watu wote wako naangalia ile habari kwa uangalifu.

Yehova anasema kama uharibifu wa huu ulimwengu utakuwa wa kushitukia na wa bila kutazamia (1Te 5:2, 3) Juu ya nini tunapaswa kuamini maneno ya Yehova?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine