UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
Yehova Alifanya Jambo Yenye Haikutazamiwa
Wakati kulikuwa njaa kali, Yehova alisema kama siku yenye kufuata kutakuwa chakula mingi sana (2Fa 7:1; it-1-F uku. 729 fu. 1)
Kamanda fulani wa Israeli alichekelea ahadi ya Yehova (2Fa 7:2)
Yehova alifanya jambo yenye haikutazamiwa (2Fa 7:6, 7, 16-18)
Yehova anasema kama uharibifu wa huu ulimwengu utakuwa wa kushitukia na wa bila kutazamia (1Te 5:2, 3) Juu ya nini tunapaswa kuamini maneno ya Yehova?