UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
Tuendelee Kutambua Uhitaji wa Kutenda kwa Haraka
Kwa miaka mingi Yehova aliendelea kuonya watu wa Yuda kama angewakatala ikiwa wanaendelea kufanya mambo ya mubaya (2Fa 24:2, 3; w01-SW 15/2 uku. 12 fu. 2)
Yehova alitumia Wababiloni juu ya kuharibu Yerusalemu mu 607 M.K.Y. (2Fa 25:8-10; w07-SW 15/3 uku. 11 fu. 10)
Yehova alilinda uzima wa wale wenye walifuata maonyo yake (2Fa 25:11)
Kwa makumi ya miaka, Yehova ameonya watu kama ataleta hukumu juu ya “watu wenye hawamuogope Mungu.”—2Pe 3:7.
UJIULIZE HIVI: ‘Natumiaka kila nafasi juu ya kusaidia wengine wafuate onyo ya Mungu?’—2Ti 4:2.