Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb23 Mwezi wa 1 uku. 3
  • Tuendelee Kutambua Uhitaji wa Kutenda kwa Haraka

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tuendelee Kutambua Uhitaji wa Kutenda kwa Haraka
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Uvumilivu wa Yehova Uko na Mipaka
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • Yehova Alifanya Jambo Yenye Haikutazamiwa
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • Juu ya Nini Ni Lazima Tukuwe Wanyenyekevu?
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • “Kamata Mutoto Wako”
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
mwb23 Mwezi wa 1 uku. 3

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Tuendelee Kutambua Uhitaji wa Kutenda kwa Haraka

Kwa miaka mingi Yehova aliendelea kuonya watu wa Yuda kama angewakatala ikiwa wanaendelea kufanya mambo ya mubaya (2Fa 24:2, 3; w01-SW 15/2 uku. 12 fu. 2)

Yehova alitumia Wababiloni juu ya kuharibu Yerusalemu mu 607 M.K.Y. (2Fa 25:8-10; w07-SW 15/3 uku. 11 fu. 10)

Yehova alilinda uzima wa wale wenye walifuata maonyo yake (2Fa 25:11)

Ndugu moya iko nahubiria mufanyakazi mwenzake saa ya mapumuziko ya midi.

Kwa makumi ya miaka, Yehova ameonya watu kama ataleta hukumu juu ya “watu wenye hawamuogope Mungu.”​—2Pe 3:7.

UJIULIZE HIVI: ‘Natumiaka kila nafasi juu ya kusaidia wengine wafuate onyo ya Mungu?’​—2Ti 4:2.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine