UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
Uvumilivu wa Yehova Uko na Mipaka
Yehova aliruhusu Waashuru washinde Israeli (2Fa 17:5, 6; it-2-F uku. 868 fu. 4)
Yehova alipatia watu wake malipizi juu waliendelea kumukosea (2Fa 17:9-12; it-1-F uku. 402 fu. 7)
Yehova alivumilia Waisraeli na aliwaonya mara kwa mara (2Fa 17:13, 14)
Baba yetu wa mbinguni mwenye upendo, anavumiliaka sana wanadamu wenye hawakamilike. (2Pe 3:9) Lakini, juu mapenzi yake itimie, karibuni ataharibu watu wabaya. Namna gani kujua vile kunaweza kutuchochea kusikiliza wakati anaturekebisha na kuhubiri kwa uharaka?