Daudi anamupatia Sulemani wanaume wenye ufundi na vifaa kwa ajili ya ujenzi wa hekalu
UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
Saidia Vijana ili Wapate Matokeo ya Muzuri
Daudi alijua kama kwa musaada wa Yehova, Sulemani angeweza kusimamia muzuri kazi ya kujenga hekalu (1Ny 22:5; w17.01 uku. 29 fu. 8)
Daudi alimutia moyo Sulemani amutegemee Yehova na kisha aanze kazi (1Ny 22:11-13)
Daudi alimutegemeza kabisa Sulemani (1Ny 22:14-16; w17.01 uku. 29 fu. 7; ona picha ku jalada)
UJIULIZE HIVI: ‘Naweza kufanya nini juu ya kusaidia vijana wa mu kutaniko yetu wakuwe na furaha na wapate matokeo ya muzuri wakati wako wanamutumikia Yehova?’—w18.03 uku. 11-12 fu. 14-15.