TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Namna Ya Kuanzisha Mazungumuzo
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza
Ulizo: Ni wapi kwenye tunaweza kupata mashauri yenye inaweza kutusaidia kila siku?
Andiko: 2Ti 3:16, 17
Ulizo la Kuachia Mutu: Juu ya nini tunaweza kuamini mambo yenye Biblia inasema?
UTAPATA HII ANDIKO KATIKA VYOMBO VYETU VYA KUFUNDISHIA:
Kumurudilia Mutu
Ulizo: Juu ya nini tunaweza kuamini mambo yenye Biblia inasema?
Andiko: Yob 26:7
Ulizo la Kuachia Mutu: Biblia inajibia maulizo gani?
UTAPATA HII ANDIKO KATIKA VYOMBO VYETU VYA KUFUNDISHIA: