TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Namna Ya Kuanzisha Mazungumuzo
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanzaa
Ulizo: Ni nini inaonyesha kama Mungu anatuhangaikia kipekee?
Andiko: Mt 10:29-31
Ulizo ya Kuachia Mutu: Mungu anatusaidiaka namna gani kuvumilia magumu yetu?
UTAPATA HII ANDIKO MU VYOMBO VYETU VYA KUFUNDISHIA:
Kumurudilia Mutub
Ulizo: Mungu anatusaidiaka namna gani kuvumilia magumu yetu?
Andiko: Yer 29:11
Ulizo ya Kuachia Mutu: Biblia inaweza kutuongoza namna gani?
UTAPATA HII ANDIKO MU VYOMBO VYETU VYA KUFUNDISHIA:
lffi uku. 7