UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
Unatendaka Palepale Bila Kufikiri?
Daudi alimuomba Nabali musaada, lakini Nabali alimutukana Daudi na wanaume wake (1Sa 25:7-11; ia uku. 78 fu. 10-12)
Palepale Daudi aliamua kuua wanaume wote wa mu nyumba ya Nabali (1Sa 25:13, 21, 22)
Abigaili alimusaidia Daudi aepuke hatia ya damu (1Sa 25:25, 26, 32, 33; ia uku. 80 fu. 18)
UJIULIZE HIVI: ‘Nakuwaka na tabia ya kutenda palepale bila kufikiri wakati ninakasirika, wakati niko nanunua vitu, ao wakati ninavunjika moyo? Ao ninakamataka wakati ya kufikiria matokeo mbele nitende?’—Mez 15:28; 22:3.