UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
“Mutaendelea kuyumba-yumba Kati ya Mawazo Mbili Tofauti Mupaka Wakati Gani?”
Eliya aliambia Waisraeli kama walipaswa kuamua (1Fa 18:21; w17.03 uku. 14 fu. 6)
Baali alikuwa mungu mwenye hakukuwa na uzima (1Fa 18:25-29; ia uku. 88 fu. 15)
Yehova alionyesha kwa njia ya ajabu kama yeye njo Mungu kabisa (1Fa 18:36-38; ia uku. 90 fu. 18)
Eliya aliambia watu kama walipaswa kutii Sheria ya Yehova. (Kum 13:5-10; 1Fa 18:40) Leo, tunatii kabisa amri za Yehova juu ya kuonyesha kama tuko na imani na kama tunashikamana naye.