Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb22 Mwezi wa 9 uku. 9
  • “Mutaendelea kuyumba-yumba Kati ya Mawazo Mbili Tofauti Mupaka Wakati Gani?”

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • “Mutaendelea kuyumba-yumba Kati ya Mawazo Mbili Tofauti Mupaka Wakati Gani?”
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Umuombe Yehova Akufariji
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • B8 Hekalu Lenye Lilijengwa na Sulemani
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • Mufano Muzuri Juu ya Namna ya Kuzungumuza
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Alitetea Ibada Safi
    Tuige Imani Yao
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
mwb22 Mwezi wa 9 uku. 9
Eliya, manabii wa Baali, na watu wengine wako wanaangalia wakati moto unatoka mbinguni na kuteketeza toleo ya kuteketezwa yenye kuwa ku mazabahu.

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

“Mutaendelea kuyumba-yumba Kati ya Mawazo Mbili Tofauti Mupaka Wakati Gani?”

Eliya aliambia Waisraeli kama walipaswa kuamua (1Fa 18:21; w17.03 uku. 14 fu. 6)

Baali alikuwa mungu mwenye hakukuwa na uzima (1Fa 18:25-29; ia uku. 88 fu. 15)

Yehova alionyesha kwa njia ya ajabu kama yeye njo Mungu kabisa (1Fa 18:36-38; ia uku. 90 fu. 18)

Eliya aliambia watu kama walipaswa kutii Sheria ya Yehova. (Kum 13:5-10; 1Fa 18:40) Leo, tunatii kabisa amri za Yehova juu ya kuonyesha kama tuko na imani na kama tunashikamana naye.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine