UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
Umuombe Yehova Akufariji
Eliya aliogopa, kisha akakimbia juu ya kuokoa uzima wake (1Fa 19:3, 4; w19.06 uku. 15 fu. 5)
Yehova alifanya mambo fulani ili kumusaidia, na alimuonyesha nguvu yake mu njia za ajabu (1Fa 19:5-7, 11, 12; ia uku. 103 fu. 13; uku. 106 fu. 21)
Yehova alimupatia kazi ya kufanya (1Fa 19:15-18; ia uku. 106 fu. 22)
Leo, Yehova anatumia Neno yake ili kuzungumuza na siye; anatukumbusha kama anatugangaikia kabisa, tena anatupatia kazi ya maana ya kufanya.—1Ko 15:58; Kol 3:23.