Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb22 Mwezi wa 9 uku. 10
  • Umuombe Yehova Akufariji

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Umuombe Yehova Akufariji
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • Habari za Kufanana na Zile
  • “Mutaendelea kuyumba-yumba Kati ya Mawazo Mbili Tofauti Mupaka Wakati Gani?”
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • Mufano Muzuri Juu ya Namna ya Kuzungumuza
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • B8 Hekalu Lenye Lilijengwa na Sulemani
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • Unakumbuka?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2019
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
mwb22 Mwezi wa 9 uku. 10

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Umuombe Yehova Akufariji

Eliya aliogopa, kisha akakimbia juu ya kuokoa uzima wake (1Fa 19:3, 4; w19.06 uku. 15 fu. 5)

Yehova alifanya mambo fulani ili kumusaidia, na alimuonyesha nguvu yake mu njia za ajabu (1Fa 19:5-7, 11, 12; ia uku. 103 fu. 13; uku. 106 fu. 21)

Yehova alimupatia kazi ya kufanya (1Fa 19:15-18; ia uku. 106 fu. 22)

Ndugu mwenye kuwa mu gereza iko anahubiria mulinzi.

Leo, Yehova anatumia Neno yake ili kuzungumuza na siye; anatukumbusha kama anatugangaikia kabisa, tena anatupatia kazi ya maana ya kufanya.​—1Ko 15:58; Kol 3:23.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine