Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb22 Mwezi wa 7 uku. 10
  • Hekima Ni ya Maana Sana

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Hekima Ni ya Maana Sana
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Sala ya Unyenyekevu Yenye Sulemani Alifanya Mbele ya Watu kwa Moyo Wote
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • Walitumika kwa Nguvu Sana na kwa Moyo Wote
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • Yeye ni Mufano Muzuri wa Kuiga Lakini Pia ni Onyo Kwetu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • B8 Hekalu Lenye Lilijengwa na Sulemani
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
mwb22 Mwezi wa 7 uku. 10
Sulemani iko nahukumu mu kesi ya makahaba wawili wenye wako napigania mutoto mumoya mwanaume.

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Hekima Ni ya Maana Sana

Sulemani aliomba Yehova amupatie hekima (1Fa 3:7-9; w11 15/12 uku. 8 fu. 4-6)

Yehova alifurahia ile ombi ya Sulemani (1Fa 3:10-13)

Juu Sulemani aliona hekima yenye kutoka kwa Mungu kuwa ya maana sana, taifa iliishi kwa usalama (1Fa 4:25)

Mutu mwenye hekima anaishi kulingana na ujuzi na uelewaji. Hekima ni ya maana zaidi kuliko zahabu. (Mez 16:16) Tunaweza kuwa na hekima kwa kumuomba Mungu atupatie ayo, kwa kumuogopa, kwa kuwa wanyenyekevu na wenye kiasi, na kwa kuchimba kabisa mu Neno yake.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine