Mufalme Sulemani iko anachunguza vile kazi ya kujenga hekalu iko inaendelea
UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
Walitumika kwa Nguvu Sana na kwa Moyo Wote
Sulemani alitumia vifaa vya hali ya juu sana ili kujenga hekalu (1Fa 5:6, 17; w11-SW 1/2 uku. 15)
Waisraeli wengi walisaidia mu ile kazi ya ujenzi (1Fa 5:13-16; it-1-F uku. 411; it-2-F uku. 1047 fu. 7)
Sulemani na Waisraeli wengine walitumika sana kwa miaka saba ili kumaliza ile kazi (1Fa 6:38; ona picha ya ku jalada)
Sulemani na wale watu wengine walijenga hekalu ya muzuri kwa utukufu wa Yehova juu walitumika kwa moyo wote. Inahuzunisha kujua kama watu wenye waliishi kisha wao hawakupenda kabisa kumuabudu Yehova. Hawakuhangaikia hekalu, na ku mwisho ilifikia kuharibiwa.
UJIULIZE HIVI: ‘Ni mambo gani niko nafanya ya kunisaidia niendelee kupenda kumuabudu Yehova?’