UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
Sala Zangu Zinaonyesha Kama Niko Mutu wa Namna Gani?
Yabesi alikuwa mwanaume mwenye kuheshimiwa (1Ny 4:9)
Sala yake ilionyesha kama alihangaikia ibada ya kweli (1Ny 4:10a; w10-SW 1/10 fu. 23 uku. 3-7)
Yehova alijibia sala ya Yabesi (1Ny 4:10b)
UJIULIZE HIVI: ‘Sala zangu zinaonyesha kama niko mutu wa namna gani?’—Mt 6:9, 10.