Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb23 Mwezi wa 1 uku. 15
  • Tumia Kanuni za Biblia ili Kusaidia Watoto Wako Wapate Matokeo ya Muzuri

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tumia Kanuni za Biblia ili Kusaidia Watoto Wako Wapate Matokeo ya Muzuri
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Maamuzi Yenye Inaonyesha Kama Tunamutegemea Yehova
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Kusoma Biblia Kila Siku na Kutafuta Hekima
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Wazazi—Mufundishe Watoto Wenu Namna ya Kumufurahisha Mungu
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Itika Kama Kuko Mambo Yenye Haujue
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2025
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
mwb23 Mwezi wa 1 uku. 15
Picha: Wazazi wako na zoeza mutoto wao kadiri iko nakomala. 1. Mama anatumia kitabu “Jifunze Kutoka kwa Mwalimu Mkuu” ili kujifuza na mutoto wake mwanamuke. 2. Baba ansaidi mutoto wake mwnamuke mwenye sasa alisha komala kutayarisha habari ya funzo ya “Munara wa Mulinzi.” 3. Mutoto wao mwenye alisha komala zaidi iko nahubiria mwanamuke fulani mu mahubiri ya nyumba kwa nyumba.

MAISHA YA MUKRISTO

Tumia Kanuni za Biblia ili Kusaidia Watoto Wako Wapate Matokeo ya Muzuri

Wazazi Wakristo wanapendaka watoto wao wakuwe na maisha ya muzuri na yenye furaha wakati wako wanamutumikia Yehova. Kwa kutumia kanuni za Biblia ili kuwazoeza, wazazi wanaweza kusaidia watoto wao wapate matokeo ya muzuri.​—Mez 22:6.

  • Fanya ikuwe mwepesi kwa watoto wako kuzungumuza na weye.​—Yak 1:19

  • Fundisha watoto wako kupitia mufano wako muzuri.​—Kum 6:6

  • Shiriki kwa ukawaida mu sehemu mbalimbali za ibada ya kweli.​—Efe 6:4

MUANGALIE VIDEO JENGA NYUMBA YENYE HAITABOMOKA​—ZOEZA WATOTO WAKO KATIKA ‘NJIA INAYOWAFAA,’ NA KISHA MUJIBIE HII MAULIZO:

  • Wazazi wanaweza kufanya nini ili kuonyesha kama wako na usawaziko?

  • Namna gani wazazi wanaweza kutumikisha kanuni yenye kuwa mu andiko ya Yakobo 1:19?

  • Wazazi wanaweza kufanya nini wakati magumu inatokea?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine