MAISHA YA MUKRISTO
Tumia Kanuni za Biblia ili Kusaidia Watoto Wako Wapate Matokeo ya Muzuri
Wazazi Wakristo wanapendaka watoto wao wakuwe na maisha ya muzuri na yenye furaha wakati wako wanamutumikia Yehova. Kwa kutumia kanuni za Biblia ili kuwazoeza, wazazi wanaweza kusaidia watoto wao wapate matokeo ya muzuri.—Mez 22:6.
Fanya ikuwe mwepesi kwa watoto wako kuzungumuza na weye.—Yak 1:19
Fundisha watoto wako kupitia mufano wako muzuri.—Kum 6:6
Shiriki kwa ukawaida mu sehemu mbalimbali za ibada ya kweli.—Efe 6:4
MUANGALIE VIDEO JENGA NYUMBA YENYE HAITABOMOKA—ZOEZA WATOTO WAKO KATIKA ‘NJIA INAYOWAFAA,’ NA KISHA MUJIBIE HII MAULIZO:
Wazazi wanaweza kufanya nini ili kuonyesha kama wako na usawaziko?
Namna gani wazazi wanaweza kutumikisha kanuni yenye kuwa mu andiko ya Yakobo 1:19?
Wazazi wanaweza kufanya nini wakati magumu inatokea?